WAZIRI MBARAWA ATEMBELEA BANDARI YA TANGA AHAIDI UJENZI WA BANDARI YA MWAMBANI UPO

March 04, 2016
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano,Proffesa
Makame Mbarawa kushoto akimsikilia Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga,Henry Arika wakati alipotembelea eneo la Mwambani kunapotarajiwa kujengwa Bandari ambapo alitembelea eneo hilo kujionea namna lilivyo.


Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano,Proffesa Makame Mbarawa wa pili kutoka kushoto akionyeshwa eneo litakalojengwa Bandari ya Mwambani na Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga,Henry Arika wakati alipotembelea eneo la Mwambani kunapotarajiwa kujengwa Bandariambapo alitembelea eneo hilo kujionea namna lilivyo.

 Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano,Proffesa Makame Mbarawa katikati akiteta jambo na Mkuu wa wilaya ya Tanga,Abdulla Lutavi wakati alipotembelea eneo ambalo kutajengwa bandari mpya ya Mwambani kulia ni Kaimu Meneja wa Bandari yaTanga,Henry Arika.
 Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga,Henry Arika kulia akisistiza jambo kwa Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Proffesa Makame Mbarawa wakati alipofanya ziara ya kutembelea Bandari hiyo kulia ni PRO wa TPA Tanga,Moni Jarufu.

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Makame Mbarawa akisisitiza jambo kwa Kaimu Meneja wa Bandari ya Tanga,Henry Arika wakati alipofanya ziara ya kutembelea leo kuangalia namna
inayofanya kaz.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »