Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji Dkt.Adelhelm Meru, (kushoto) akibadilishana mawazo
na Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group ,Roberto Jarrin wakati wa semina ya
kujadili masuala ya kodi kwenye sekta ya vinywaji iliyofanyika jana
katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya
Kilimo,Maji na Mifugo Dk.Mary Nagu (kushoto) akibadilishana mawazo na
Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group ,Roberto Jarrin wakati wa semina ya
kujadili masuala ya kodi kwenye sekta ya vinywaji iliyofanyika jana
katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji Dkt.Adelhelm Meru, (kushoto) akizungumza wakati
wa uzinduzi wa semina hiyo ambapo alikuwa mgeni rasmi. Kutoka kulia
ni Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group ,Roberto Jarrin , wa pilia ni
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Tanzania (SBL)
Kalpesh Mehta na Mkurugenzi Mkuu wa Heineken Tanzania, Michael Mbungu.
Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group ,Roberto Jarrin akizungumza katika mkutano huo.
Baadhi ya wadau mbalimbali
waliohudhuria kwenye mkutano wa Alcoholic Drinks and Beer Sector
Taxation Workshop uliofanyika leo katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Dar es Salaam, wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa
zikitolewa kwenye semina hiyo
Baadhi ya wadau mbalimbali
waliohudhuria kwenye mkutano wa Alcoholic Drinks and Beer Sector
Taxation Workshop uliofanyika leo katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Dar es Salaam, wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa
zikitolewa kwenye semina hiyo
Baadhi ya wadau mbalimbali
waliohudhuria kwenye mkutano wa Alcoholic Drinks and Beer Sector
Taxation Workshop uliofanyika leo katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius
Nyerere Dar es Salaam, wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa
zikitolewa kwenye semina hiyo
Mkurugenzi Mkuu wa Heineken
Tanzania, Michael Mbungu, akifafanua jambo wakati wa mkutano wa
Alcoholic Drinks and Beer Sector Taxation Workshop ,uliofanyika jana
katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam. Wengine
kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya bia ya Serengeti
Breweries Tanzania (SBL) Kalpesh Mehta , , Christopher Mgifi kutoka
Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji na Mkurugenzi Mkuu wa TBL
Group ,Roberto Jarrin
Baadhi ya wadau wakuu walioshiriki katika semina hiyo wakiwa katika picha ya pamoja