Naibu Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura akimkabidhi
Cheti cha ushiriki Bw.Erasto Mike wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya
saba ya bidhaa za harusi leo jijini Dar es Salaam.
Mhe. Anastazia Wambura Naibu
waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akiangalia bidhaa kutoka
kwa mjasiriamali Bi Helen-Lukundo Chonjo( Kulia) wakati alipokuwa
akifungua maonyesho ya saba ya bidhaa za Harusi.Katikati ni mbunifu wa
mavazi Bw. Mustafa Asanali.
Naibu Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura akipokea
maelekezo kuhusu jarida la Bidhaa za Harusi kutoka kwa mbunifu Mustafa
Asanali kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Sanaa Bi Leah Kihimbi.
Naibu Waziri wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Anastazia Wambura akisikiliza ufafanuzi
kuhusu bidhaa za harusi zinazotengenezwa hapa nchini kutoka kwa Bi
Dianna Kaijage wakati alipofungua maonyesho ya saba ya bidhaa hizo leo
jijini Dar es Salaam.
Bi Sakina Kubino akimuonyesha
Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura
baadhi ya urembo unaovaliwa katika Sherehe za harusi wakati
alipofungua maonyesho ya bidhaa hizo leo jijini Dar es Salaam.
Mbunifu wa mavazi Bw. Mustafa
Asanali akimkaribisha Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo
katika maonyesho ya saba ya bidhaa za harusi yanayofanika katika ukumbi
wa St Peters jijini Dar es Salaam