Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya TRUMARK Agnes Mgonge alipowasili katika
ukumbi wa Kingsolomon Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni March
05,2016 kwa ajili ya kuhudhuria Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya
Wanawake Duniani.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katikati akiwa katika
picha ya pamoja Viongozi wa Kampuni ya TRUMARK iliyoandaa sherehe ya
maadhimisho ya siku ya Ki,ataifa ya Wanawake Duniani alipowasili katika
ukumbi wa Kingsolomon Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni March
05,2016 kwa ajili ya kuhudhuria Maadhimisho hayo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidha katika
maonesho ya Vikundi vya Wajasiriamali wa Vikoba kutoka katika taasisi
mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani
yaliyoandaliwa na Kampuni ya TRUMARK katika ukumbi wa Kingsolomon
Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni March 05,2016. kulia Naibu
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Khamis
Kigwangala.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidha katika
maonesho ya Vikundi vya Wajasiriamali wa Vikoba kutoka katika taasisi
mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani
yaliyoandaliwa na Kampuni ya TRUMARK katika ukumbi wa Kingsolomon
Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni March 05,2016. kulia Naibu
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Khamis
Kigwangala.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidha katika
maonesho ya Vikundi vya Wajasiriamali wa Vikoba kutoka katika taasisi
mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani
yaliyoandaliwa na Kampuni ya TRUMARK katika ukumbi wa Kingsolomon
Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni March 05,2016. kulia Naibu
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Khamis
Kigwangala.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidha katika
maonesho ya Vikundi vya Wajasiriamali wa Vikoba kutoka katika taasisi
mbalimbali kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani
yaliyoandaliwa na Kampuni ya TRUMARK katika ukumbi wa Kingsolomon
Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni March 05,2016. kulia Naibu
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia,Wazee na Watoto Mhe. Khamis
Kigwangala.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimtunza msanii wa
kikundi cha Barnaba Bibi Patrisha Hilary alipokua akiimba nyimbo ya
kusifu siku ya Wanawake Duniani kwenye maadhimisho ya siku ya Kimataifa
ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Kampuni ya TRUMARK katika ukumbi
wa Kingsolomon Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni March 05,2016.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akihutubia kwenye
maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani iliyoandaliwa na
Kampuni ya TRUMARK katika ukumbi wa Kingsolomon Kinondoni jijini Dar es
salaam jana March 05,2016.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katikati akiwa katika
picha ya pamoja Viongozi wa Kampuni ya TRUMARK iliyoandaa sherehe ya
maadhimisho ya siku ya Ki,ataifa ya Wanawake Duniani alipowasili katika
ukumbi wa Kingsolomon Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni March
05,2016 kwa ajili ya kuhudhuria Maadhimisho hayo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kuzungumza
na Wajasiriamali wa Vikundi vya Vikoba kutoka katika taasisi mbalimbali
baada ya kuwahutubia kwenye maonesho ya maadhimisho ya siku ya
Kimataifa ya Wanawake Duniani yaliyoandaliwa na Kampuni ya TRUMARK
katika ukumbi wa Kingsolomon Kinondoni jijini Dar es salaam jana jioni
March 05,2016 (Picha na OMR)