Mamia ya wananchi wakimpokea
mgombea wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi
Dr. John Pombe Magufuli mkoani Geita mchana wa leo Dr John Pombe
Magufuli yuko mkoani Geita kwa ya kujitambulisha kwa wananchi mara baada
ya chama cha Mapinduzi kumteu kugombea urais kwa tiketi ya chama
hicho( PICHA NA MICHUZIJR-GEITA)
Dr. John Pombe Magufuliakizungumza na wananchi.
Baadhi ya wananchi wakimpungia mikono Mgombea urais kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli.
Umati wa wananchi ukiwa umejitokeza kwa wingi.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa
Geita Joseph Kasheku Msukuma akionyesha ishara ya kufurahia jambo wakati
wa mapokezi ya Dr. John Pombe Magufuli.
EmoticonEmoticon