KONGAMANO LA WANASALAMU NCHINI LAFANYIKA TANGA.

October 29, 2013
 Mkuu wa wilaya ya Tanga,Halima Dendego akiwahutubia wanaalamu katika risala yake

Mkuu wa wilaya ya Tanga,Halima Dendego akifungua mfano wa cheti cha umoja  wa wanasalamu Tanzania.

 MKUU wa wilaya Tanga,Halima Dendego akicheza mziki ikiwa ni kuahisiria ufunguzi wa kongamano la Wanasalamu hapa nchini

Meza ya watangazaji wa radio za mkoani Tanga ,Mwanza na Dar es salam wakisikiliza kwa makini mgeni rasmi


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »