MAELFU WAFURIKA KUMSIKILIZA DKT.SAMIA SULUHU KATORO MKOANI GEITA

October 13, 2025

 

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Katoro katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Geita tarehe 13 Oktoba, 2025.
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Katoro katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM, mkoani Geita tarehe 13 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi wa Katoro mkoani Geita waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 13 Oktoba, 2025.

Sehemu ya Wananchi wa Katoro mkoani Geita waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 13 Oktoba, 2025.





Share this

Related Posts

Previous
Next Post »