DKT.BITEKO ASHIRIKI KUPIGA KURA ZA MAONI BUKOMBE GEITA

August 04, 2025

Mtia nia nafasi ya  ubunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Mashaka Biteko ashiriki kupiga kura za maoni kumchagua diwani wa  kata ya Bulangwa ambapo Msimamizi wa Uchaguzi ni Ndugu. Paskasi Mlagiri Mjumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Bukombe, Agosti 4, 2025, Mkoani Geita.
 Dkt. Doto Mashaka Biteko Agosti 4, 2025 akiwa ukumbini pamoja na wajumbe wengine wa mkutano mkuu wa kata ya Bulangwa wakisikiliza maelekezo kutoka Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni Mjumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya, Ndugu. Paskasi Mlagiri kuelekea kupiga kura za maoni katika nafasi ya Udiwani na Ubunge Jimbo la Bukonbe, Mkoani Geita.
 Dkt. Doto Mashaka Biteko Agosti 4, 2025 akiwa ukumbini pamoja na wajumbe wengine wa mkutano mkuu wa kata ya Bulangwa wakisikiliza maelekezo kutoka Msimamizi wa Uchaguzi ambaye ni Mjumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya, Ndugu. Paskasi Mlagiri kuelekea kupiga kura za maoni katika nafasi ya Udiwani na Ubunge Jimbo la Bukonbe, Mkoani Geita.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Bukombe, Dkt. Doto Mashaka Biteko ashiriki kupiga kura za maoni kwa nafasi ya Ubunge na Udiwani katika kata ya Bulangwa ambapo Msimamizi wa Uchaguzi ni Ndugu. Paskasi Mlagiri Mjumbe wa kamati ya siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Bukombe, Agosti 4, 2025, Mkoani Geita.





 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »