RAIS SAMIA ATETA NA VIONGOZI WA CCM UNGUJA

January 19, 2024







Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amezungumza na viongozi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa mikoa mitatu ya Unguja kwenye mkutano wa majumuisho ya ziara yake kichama.

Mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja Januari 18, 2024.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, akizungumza na viongozi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa mikoa mitatu ya Unguja kwenye mkutano wa majumuisho ya ziara yake kichama uliofanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 18 Januari, 2024.
Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa mikoa mitatu ya Unguja wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani), wakati wa mkutano wa majumuisho ya ziara yake kichama uliofanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 18 Januari, 2024.
Baadhi ya viongozi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa mikoa mitatu ya Unguja wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani), wakati wa mkutano wa majumuisho ya ziara yake kichama uliofanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 18 Januari, 2024.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »