.jpg) |
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini
Indonesia tarehe 24 Januari, 2024. |
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara
baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta,
Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari,
2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara
baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta,
Tangerang kwa ajili ya ziara ya Kitaifa nchini Indonesia tarehe 24 Januari,
2024.

Share this
EmoticonEmoticon