MAKAMU WA RAIS AKIMKARIBISHA M/RAIS WA CUBA IKULU DAR ES SALAAM

January 24, 2024

   

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimpokea Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa alipowasili Ikulu Jijini Dar es salaam akiwa ziarani nchini Tanzania.

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini Dar es salaam

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa alipowasili Ikulu Jijini Dar es salaam akiwa ziarani nchini Tanzania.

  

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akifanya mazungumzo na  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya  Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa alipowasili Ikulu Jijini Dar es salaam akiwa ziarani nchini Tanzania.

  

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiongoza Ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo Rasmi na  Ujumbe wa Cuba ukiongozwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya  Cuba Mhe. Salvador Valdés Mesa Ikulu Jijini Dar es salaam


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »