Naibu Waziri Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji, Mhe. Injinia Stella Manyanya akikagua maabara ya
Vipimo vya sampuli ya bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na Kiwanda cha
Tanga Fresh.
Magari maalumu ya kusafirishia bidhaa za kiwanda cha Tanga Fresh katika mikoa mbalimbali,
Muonekano wa Kiwanda cha Tanga Fresh kilichopo Mkoani Tanga.
Naibu Waziri Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji, Mhe. Injinia Stella Manyanya akizungumza na ndugu
Amour Alli meneja wa kampuni ya GBP iliyopo mkoani Tanga.
Meneja wa Kampuni ya Mafuta ya GBP
ndugu Amour Alli akimuonesha Mhe. Naibu Waziri Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji, Mhe. Injinia Stella Manyanya sehemu ya upanuzi wa
bohari hiyo ya mafuta na jinsi itakavyochochea ukuaji wa uchumi wa
nchi.
Ziara ya Naibu Waziri Wizara ya
Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Injinia Stella Manyanya kutembelea
kampuni ya GBP inayojihusisha na usambazaji wa mafuta, Mhe. Waziri
ataendelea na Ziara yake mkoani Tanga kukagua Viwanda vilivyobinafsishwa
kuona utendaji wake na kutoa maagizo ya kuanza uzalishaji mara moja.
Ziara ya Naibu Waziri Wizara ya
Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Injinia Stella Manyanya
alipotembelea kampuni ya usambazaji wa mafuta ya GBP iliyopo Mkoani
Tanga.
Naibu Waziri Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji, Mhe. Injinia Stella Manyanya akizungumza na
waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea Viwanda
vilivyobinafsishwa mkoani Tanga leo tarehe 15/2/2018.
Naibu Waziri Wizara ya Viwanda,
Biashara na Uwekezaji, Mhe. Injinia Stella Manyanya akiwa katika kiwanda
cha saruji cha Kilimanjaro kilichopo mkoani Tanga, lengo la ziara hii
ni kuona uzalishaji wa Viwanda mbalimbali mkoani Tanga na pia kujua
changamoto na kuzifanyia kazi.