Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana
na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamini Mkapa ambaye ni mratibu wa
Mazungumzo ya amani ya Burundi, Kampala nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa katika mazungumzo na Mratibu wa mazungumzo ya amani ya
Burundi Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamini Mkapa, Kampala nchini
Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais wa Burundi Gaston Sindimwo
kabla ya mazungumzo yao Kampala nchini Uganda.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa
katika mazungumzo na Makamu wa Rais wa Burundi Gaston Sindimwo,
Kampala nchini Uganda.
Makamu
wa Rais wa Burundi Gaston Sindimwo akizungumza mara baada ya
kikao chake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,
Kampala nchini Uganda. PICHA NA IKULU