WAZIRI JAFFO AWATAKA WANANCHI WA KATA YA KWAGUNDA KUMCHAGUA MGOMBEA WA CCM

January 03, 2018
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Suleiman Jaffo akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mgaza wakati wa mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombea wa udiwani Kata ya Kwagunda kupitia CCM Saidi Shenkawa ambapo aliwataka wananchi kumpa kura za ndio ili aweze kuwapa maendeleo
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Suleiman Jaffo kulia akimnadi  mgombea wa udiwani Kata ya Kwagunda kupitia CCM Saidi Shenkawa ambapo aliwataka wananchi kumpa kura za ndio ili aweze kuwapa maendeleo
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM) Stephen Ngonyani alimaarufu Proffesa Maji Marefu na Mjumbe wa Baraza Kuu la Jumuiya ya Wazazi Taifa akizungumza katika mkutano huo ambapo aliwataka wananchi kuwamchagua mgombea wa CCM ili aweze kushirikiana naye kuwapa maendeleo
Diwani wa Kata ya Majengo (CCM) Mustapha akizungumza katika mkutano huo huku akimuomnbe kura mgombea wa CCM
Mwenyekiti wa CCM Korogwe Vijijini Mzee Malingumu akipiga magoti kumuombea kura mgombea wa CCM katika m kutano wa hadhara ambapo uchaguzi huo unatarajiwa kufanyika Januari 13 mwaka huu kufuatili aliyekuwa diwani wa Kata hiyo kufariki dunia
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Suleiman Jaffo akielekea kuzungumza na wananchi
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Suleiman Jaffo katikati akionyeshwa kitu kwenye simu na Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini (CCM) na Mjumbe wa baraza Kuu la Jumuiya ya Wazazi Taifa,Stepheni Ngonyani alimaarufu Proffesa Maji Marefu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Suleiman Jaffo akiwapungua mikono wananchi waliojitiokeza kwenye mkutano huo kushoto aliyevaa shati jeupe ni Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Godwin Gondwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni na Mbunge wa Jimbo la la Korogwe Vijijini (CCM) na Mjumbe wa baraza Kuu  la Jumuiya ya Wazazi Taifa,Stepheni Ngonyani alimaarufu Proffesa Maji Marefu
 Sehemu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Suleiman Jaffo akipiga makofi mara baada ya kumalizika kwa mkutano huo kushoto ni Mbunge wa Jimbo la la Korogwe Vijijini (CCM) na Mjumbe wa baraza Kuu  la Jumuiya ya Wazazi Taifa,Stepheni Ngonyani alimaarufu Proffesa Maji Marefu
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Suleiman Jaffo akiondoka eneo la mkutano kushoto ni
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Godwin Gondwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rasi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Suleiman Jaffo kushoto akiteta jambo na Msaanii Dkt Nyau mara baada ya kumalizika mkutano huo katikati ni
Kaimu Mkuu wa wilaya ya Korogwe,Godwin Gondwe ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Handeni


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »