| Wa pili kutoka kulia 
ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais wa jamuhuri ya Muungano wa 
Tanzania Mhe. January Makamba, akiongea katika kikao cha ngazi ya Mawaziri 
kinachohusisha Mawaziri Kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali 
ya Mapinduzi ya Zanzibar, kinachojadili changamoto za Muungano, Mjini 
Unguja, wa Pili kutoka Kushoto ni  Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu 
wa Pili wa Rais wa (SMZ) Mhe. Mohamed Aboud Mohamed. Kulia kwake ni 
Bwana Joseph Abdallah Meza Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais 
(SMZ) na wa kwanza Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais wa Jamuhuri 
ya Muugano wa Tanzania Profesa Faustin Kamuzora. | 
EmoticonEmoticon