DONALD TRUPMP ASHINDA URAIS MAREKANI

November 09, 2016
trump
Rais Mteule wa Marekani, Donard Trump akiwahutubia wananchi wa Marekani muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa kiti hicho, mapema leo. Trump anakuwa Rais wa 45 wa nchi hiyo akitokea chama cha Republican. Kulia kwake ni aliekuwa mgombea mwenza wake, Mike Pence na kushoto kwake ni Mtoto wake, Barron Trump.
trump1
Hali halisi inavyoonekana katika majimbo ambayo Donald Trump ameshinda

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »