RAIS WA ZANZIBAR DK ALI MOHAMED SHEIN AONGOZA SHUGHULI ZA UZIMAJI MWENGE MKOANI SIMIYU LEO

October 14, 2016
mibi
Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar SMZ na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dk. Ali Mohamed Shein akipokea mwenge kutoka kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Ndugu George Mbijima wakati wa sherehe za uzimaji wa Mwenge wa Uhuru Bariadi mkoani Simiyu leo  baada ya kukimbizwa nchi nzima huku kiongozi huo akikagua na kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuhimiza wananchi katika uwajibikaji kwa taifa ambapo sherehe hizo zimefanyika kitaifa mkoani humo.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »