Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Uongozi wa
Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala
Bora katika mkutano Mpango wa Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama
cha Mapinduzi CCM mwaka 2015-2020 katika ukumbi wa Ikulu Mjini
Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 09/09/2016.
Mshauri wa Rais Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa (kushoto)
pamoja na Viongozi mbali mbali wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais
Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakiwa katika mkutano
Mpango wa Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM
mwaka 2015-2020,chini ya Mwenyekiti Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani) katika ukumbi
wa Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 09/09/2016.
Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar
Mhe,Said Hassan Said (kulia) akiwa na Viongozi wengine wa Wizara ya
Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora
katika mkutano Mpango wa Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha
Mapinduzi CCM mwaka 2015-2020,chini ya Mwenyekiti Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani)
katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo,[Picha na Ikulu.] 09/09/2016.