Muonekano
wa kituo kipya cha kusukuma maji kilichopo eneo la Ruvu Darajani kikiwa
kimekamilika ambapo kitakuwa kinasukuma maji kwenda katika mtambo wa
Ruvu Juu.
Pampu moja ya kituo hicho inauwezo
wa kusukuma maji lita milion 60 kwa siku kuna jumla ya pampu mpya tatu
na pampu mbili zitakuwa zinafanya kazi kwa wakati mmoja.