Waziri wa Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu
akizungumza na Barozi wa Switzerland Nchini Tanzania, Florence Tinguely
Mattli wa kwanza kushoto akiwa na Mkuu wa Sekta ya Afya ya Ubalozi wa
Switzerland, Thomas Teuscher wa pili kushoto.
Balozi wa Korea Nchini
Tanzania, Song, Geum-Young akizungumza na Waziri wa Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu, wa pili
kushoto ni Katibu wake Songwon Shin.
Waziri wa Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu katikati
akizungumza na Barozi wa Korea Nchini Tanzania (Song, Geum-Young) wa
kwanza kushoto akiwa na Katibu wake Songwon Shin wa pili kushoto.