Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo
kutoka kwa Msimamizi wa Kituo cha kupokelea mafuta cha Kampuni ya GBP,
wakati alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea Jeti ya kupokelea
mafuta na Bohari ya kuhifadhia mafuta ya kampuni hiyo, wakati alipokuwa
katika ziara yake ya siku moja mkoani Tanga jana Juni 5, 2015.
Picha zote na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiondoka katika eneo
hilo baada ya kukagua kituo hicho cha kupokelea mafuta cha Kampuni ya
GBP, mkoani Tanga jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongoizana na baadhi
ya viongozi wa Kampuni ya GBP, wakati akielekea kukagua Bohari ya
kuhifadhia mafuta ya Kampuni ya GBP, alipokuwa katika ziara yake ya siku
moja mkoani Tanga jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo
kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya GBP, Badar Seif Sood, (wa pili
kulia) wakati alipotembelea Bohari ya kuhifadhia mafuta ya kampuni hiyo,
kwenye ziara yake ya siku moja mkoani Tanga jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiondoka katika eneo
hilo, akiongozana na Mkurugenzi wa ya GBP, Badar Seif Sood (kushoto),
Waziri wa Mazingira wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Binilith Mahenge na
baadhi ya viongozi, baada ya ukaguzi wa Bohari ya kuhifadhia mafuta ya
Kampuni ya GBP, mkoani Tanga jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Mkurugenzi
wa Kampuni ya GBP, Badar Seif Sood, baada ya kumaliza ziara yake ya
kukagua Bohari ya kuhifadhia mafuta ya kampuni hiyo, jana mkoani Tanga.