LOWASSA ASHIRIKI JUBILEE YA MIAKA 50 YA SEMINARI YA MTAKATIFU KALOLI LWAHANGA, HUKO NGARA

June 06, 2015


Waziri Mkuu Mstaafu, na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa,
(wapili kushoto), akiwa na Askofu  wa
Jimbo Katoliki la Lulenge Ngara, mkoani Kagera, Severine Niwemuguzi baada ya
kuzindua jiwe la msingi kuashiria maadhimisho ya Jubilee ya miaka 50, Seminari
ya Mtakatifu Kaloli Lwahanga Katote Jimbo Katoliki la Lulenge Ngara, Jumamosi
Juni 6, 2015
Waziri  Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa, akisalimiana na
Askofu  wa Jimbo Katoliki la Lulenge
Ngara, Severine Niwemuguzi, baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege Biharamulo
Mkoani Kagera kwa ajili ya kusherekea Miaka 50 ya Seminari ya Katote

Lowassa,
akiwasha kompyuta baada y kuzindua chumba cha mafunzo ya Kompyuta
katikaKuadhimisha Jubilei ya Miaka 50 Seminari ya Mtakatifu Kaloli Lwahanga
Katote Jimbo Katoliki la Lulenge Ngara mkoani KageraJumamosi Juni 6, 2015.
Kushoto ni  Askofu  wa Jimbo Katoliki la Lulenge Ngara, Severine
Niwemuguzi

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »