Rais Kikwete awatembelea watoto waliofanyiwa upasuaji wa Moyo Muhimbili

May 14, 2015

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtoto Habiba Khalfan Lipande(6) ambaye amefanyiwa tiba ya kuziba tundu lililokuwa katika moyo wake kwa kutumia teknolojia mpya bila upasuaji wa kifua katika hospitali ya taifa Muhimbili.Mtoto Habiba kutoka katia kijiji cha Mavumba Mkoani Morogogoro ni mmoja kati wa watoto zaidi ya 70 watakofaidika na tiba ya moyo ikiwemo ya kuziba matundu bila ya upasuaji na ile ya kawaida ya upasuaji Katika Hospitali ya Taifa Muhimbili Kitengo cha Moyo inayoendeshwa kwa ufadhili ya shirika Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza na kufanya shughuli zake nyingi katika nchi ya Saudi Arabia.Rais Kikwete amewashukuru na kuwapongeza  madaktari hao  kwa kazi nzuri na kuwaomba kufanya zoezi hilo kuwa endelevu(picha na Freddy Maro) unnamed1

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »