DIAMOND PLATINUMS ,KHADIJA KOPA WAPAGAWISHA KWA LOWASSA ARUSHA

May 31, 2015
DSC_0300
MAY 30 2015 Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid, Arusha ilikuwa siku ambayo Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa alitangaza rasmi kwamba ataomba kibali cha CCM ili agombee Urais wa TZ mwaka huu.Baada ya hapo watu wakaigeukia stage ya burudani ambapo ilikuwepo list pia ya mastaa wa Bongo Fleva ambao walipiga show ya nguvu.
DSC_0037
DSC_0037 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »