BODI YA WAKURUGENZI YAANZA ZIARA MIKOANI KUKAGUA MIRADI YA UJENZI WA NYUMBA za NHC

May 04, 2015
New Picture
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na baadhi ya Wakurugenzi wa Bodiya NHC wakikagua ubora wa vifaa vya ujenzi vinavyotumika katika ujwenzi wa jingo la kibiashara linalojengwa na NHC eneo la Mtukula mpakani mwa Tanzania na Uganda. Wamefurahishwanakazinzurinauborawaujenziwajengohilo la kibiashara na kuwataka wakandarasi wazingatie ubora katika kujenga jengo hilo.Katika ziara hiyo yupo Mkurugenzi wa BodiBw. Samson Kassalana Charles Mafurua mbaye pia ni Kaimu Mkurugenzi wa Nyumba, katika Wizaraya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
New Picture (1)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na baadhi ya Wakurugenzi wa Bodiya NHC wakiendelea kukagua jingo la kitegauchumi linalojengwana NHC eneo la Mtukula Kagera.
New Picture (2)
Meneja Mkoa wa NHC Kagera Bw. Ng’aranga Magai akito ataarifa ya utekelezaji kwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na baadhi ya Wakurugenzi wa Bodiya NHC muda mfupi baada ya Bodi hiyo kutembelea mradi wa ujenzi wajengo la biashara linalojengwa na Shirika eneo la Mtukula Mkoani humo.
New Picture (3)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na baadhi ya Wakurugenzi wa Bodi ya NHC walipowasili kukagua mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC Wilayani Muleba ambazo ziko katika hatua ya mwisho ya kukamuilika.
New Picture (4)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari akitoa maelekezo kadhaa kwa watendaji wa NHC alipotembelea mradi wa nyumba za kuuza za bei nafuu zinazojengwa na NHC Wilayani Muleba.
New Picture (5)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na ujumbe wake wakikagua nyumba za malazi za NHC zilizopo Wilayani Chato muda mfupi baada ya kuwasili ukitokea Muleba kukagua mradi wa nyumba za gharama nafuu uliojengwa Wilayani humo na Shirika.
New Picture (6)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na ujumbe wake wakiendelea kukagua nyumba za makazi za NHC Wilayani Chato na kusikiliza baadhi ya wapangaji wa nyumba hizo za ghorofa.
New Picture (7)
Msimamizi wa mradi wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Bombambili Geita Injinia Julius Ntoga akitoa maelezo ya hatua zilizofikiwa katika utekelezaji wa mradi huo ambao umeshakamilika kwa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHC. Mradi huo uko katika hatua za mwisho za kukamilika.
New Picture (8)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na ujumbe wake wakiendelea kukagua mradi wa nyumba za gharama nafuu unaotekelezwa na NHC Mkoani Geita.
New Picture (9)
Meneja wa NHC Mkoani Mwanza Injinia Benedict Kilimba akitoa maelezo ya jengo kubwa kuliko yote la kitegauchumi linalotarajiwa kujengwa Jijini Mwanza kwa ushirikiano wa NHC na Benki ya Rasilimali (Investment Bank) kwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na ujumbe wake.
New Picture (10)
Makamu Mwenyekiti wa Bodiya NHC Bw. Diotrephes Mmari na Wajumbe wengine wa Bodi ya Wakurugenzi wakiwasili eneo la Buswelu Jijini Mwanza kukagua utekelezaji wa ujenzi wanyumba za gharama nafuu unaofanywa na Kampuni ya Kiure Investment kama mkandarasi mzawa. Wajumbe wa Bodi hiyo wamesikitishwa na hatua ya mamlaka za maji, umeme na barabara kuacha jukumu lao la msingi la kuweka huduma hizo katika miradi ya nyumba inayojengwa na NHC hali inayoongeza gharama. Wameahidi kulisukuma jambo hilo kwenye mamlaka husika ili zitekeleze jukumu lao.
New Picture (11)
Ujumbe wa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. DiotrephesMmari ukiendelea kukagua nyumba za gharama nafuu eneo la Buswelu ambapo wamemtaka mkandarasi kuzingatia viwango na ubora katika ujenzi ili wakandarasi wazawa waendelee kuaminiwa na Shirika.
New Picture (12)
Ni eneo la Buhare katika Manispaa ya Musoma ambalo linajengwa nyumba za gharama nafuu na NHC kwaajili ya kuuza. Hapa NHC Bw. Diotrephes Mmari naWajumbe wengine wa Bodi yaWakurugenzi akiwemo Samson Kassalana Charles Mafuru wanakagua utekelezaji wa mradi huo.
New Picture (13)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na ujumbe wake wakihitimisha kukagua mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la BuhareManispaa ya Musoma.
New Picture (14)
Makamu Mwenyekiti wa Bodiya NHC Bw. Diotrephes Mmari na ujumbe wake wakikagua jengo la biashara la Mukendo Commercial Complex lililojengwana NHC Mjini Musoma ambalo limeshakamilika na kupangishwa kwa wafanyabiashara ikiwemo benkiya NMB.
New Picture (15)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya NHC Bw. Diotrephes Mmari na ujumbe wake wakiwendelea kukagua eneo la ghorofa za juu katika jengo la NHC Mukendo Commercial complex, Mjini Musoma.
New Picture (16)
Makamu Mwenyekiti wa Bodiya NHC Bw. Diotrephes Mmari akiongea na wafanyakazi wa NHC Mkoawa Mara katika Hoteli ya Setavila Mjini Musoma nakusisitiza nidhamu na uadilifu katika utumishi wao ndani ya Shirika.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »