HAFLA YA ZARI YAFANA MLIMANI CITY , ALIA JUKWAANI, MASHABIKI WAMWITA WIIFI, WIIFI!!

May 03, 2015

Kijana Nassib Abdul maarufu kama Diamond Plutnumz akiwasili na mpenzi wake Zari katika Hafla iliyopewa jina “Zari All White Party” iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na waalikwa na mashabiki mbalimbali wa mwanamuziki Diamond Platnumz.
Diamon Platnumz  na Zari wakihojiwa na mtangazaji wa Clouds Media Shadee wakati walipowasili katika ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya hafla kushoto ni Meneja na msimamizi wa bendi ya Yamoto. 3Mkurugenzi wa Fullshangwe kushoto Sikukubali ilibidi nipate Selfie  moja na watu wangu Matata Diamond Platnumz na Zari wakati wa hafla hiyo. 4Diamond Platnumz akizungumza katika hafla hiyo 5 6Diamond Platnumzakipozi kwa picha na mpenzi wake Zari. 7Mdau Karoline akipozi kwenye Red Carpet 8Sheta kulia na Ney wa Mitego wakiwa katika hafla hiyo. 9Kutoka kulia ni Ritha Paulsen na Idrisa na kushoto ni Ney wa Mitego na Sheta pamoja na wanamuziki wengine wakiwa katika hafla hiyo. 10Diamond Platnumzakipozi kwa picha na mashabiki wake. 11Mkurugenzi wa Jambo Concept Juma Pindo kushoto akijadiliana jambo na Ritha Paulsen katika hafla hiyo. 12Abby akihojiwa mara baada ya kuwasili katika hafla hiyo 13 
Hawa mashabiki wa Diamond Platnumz wakaja na bango lenye maneno gongana lakini ukisoma utacheka tu. 14 
Binamu MwanaFA akihojiwa. 16 
Idrisa wa Big Brother akihojiwa. 18 
Mdau Karoline akapozi tena kwa mara ya pili 19 
Baadhi ya warembo waliotoa huduma katika hafla hiyo. 20 
Mashabiki wa Diamond na Zari wakiwa wamefurika kwenye hafla hiyo. 21 
Ilikuwa Full Burudani kwenye ukumbi wa Mlimani City.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »