MAKOBAZI BEI POA

January 06, 2015


 Wakazi wa mji wa Chake Chake Wilaya Kusini Pemba wakinunua viatu aina ya Makobazi kwa muuzaji Fakihi Mansour eneo la njia ya kwenda kituo cha magari yaendayo Wilayani na katikati ya mji. Kobazi pea mmoja ilikuwa ikiuzwa kati ya shilingi  20,000, hadi 28,000.



Share this

Related Posts

Previous
Next Post »