Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman
Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Mwera,
wilayani Pangani, wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua
utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2010 mkoani Tanga.Kinana
ameziagiza wizara ya Maliasili na Utalii na Wizara ya Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi kutatua haraka migogoro ya ardhi nchini.
Kinana akilakiwa na wananchi katika Kiji cha Mkalamo, wilayani Pangani ambapo alizindua mradi wa maji.
Wanananchi wa Kata ya Mkaramo wakipata huduma katika kisima kipya cha maji kilichozinduliwa na Kinana.
Kinana akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa kisima cha maji katika Kata ya Mkaramo, wilayani Pangani
Kinana akizungumza jambo na mama baada ya kumtwisha ndoo ya maji wakati wa uzinduzi wa kisima cha maji katika Kata ya Mkaramo
Popooo zikiwa zimeanikwa ambapo Kinana alishiriki kubangua katika Kijiji cha Mseko, KKata ya Bungaa, wilayani Pangani.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye aqkishiriki kubangua popoo katika Kijiji cha Mseko, wilayani Pangani, Tanga.
WanaCCM
wakitumbuiza kwa nyimbo wakati Kinana alipowasili katika Kijiji cha
Mseko, kushiriki ujenzi wa jengo la Tawi la Mseko, Kata ya Bumbaa
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Mwera, wilayani Pangani
Mbunge
wa Jimbo la Pangani, Salehe Pamba akielezea miradi mbalimbali
iliyotekelezwa jimboni humo kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG