BREAKING NEWS.......KOCHA MPYA WA SIMBA ATUA DAR

August 13, 2014

Kocha mpya Patrick Phiri. Picha yaMaktaba.
Kocha mpya Mzambia Patrick Phiri ametua Dar muda mfupi uliopita kwa ajili ya kusaini mkataba wa kuinoa Simba. Hivi sasa yupo njiani kuelekea klabuni hapo akitokea Uwanja wa Ndege.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »