*RAIS KIKWETE AREJEA NCHINI BAADA YA ZIARA YA UINGEREZA NA UBELGIJI
Rais
 Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam 
Mhe Saidi Meck Sadiki baada ya kuwasili jana April 4, 2014 katika uwanja
 wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Brussels, Ubelgiji, 
alikofanya ziara ya kikazi ya siku mbili na kuhudhuria mkutano wa 
mataifa ya Afrika na nchi za Jumuiya ya Ulaya. Kabla ya hapo Rais 
Kikwete alifanya zaiara ya kiserikali ya siku tatu nchini Uingereza kwa 
mwaliko wa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mhe David Camaron. PICHA NA IKULU
 

 
EmoticonEmoticon