Basi la kampuni ya Mtei Express
T.742 ACU linavyoonekana baada ya kuchomwa moto na wananchi wenye hasira
kali wa kitongoji cha Ijanuka kijiji cha Kisasida manispaa ya
Singida,kutokana na kugonga pikipiki aina ya sky go T.368 BXZ na kuua
abiria watatu waliokuwa kwenye pikipiki hiyo.Basi hilo lilikuwa likitoka
Singida mjini kuelekea Arusha mjini jana (9/1/2014).Picha na Nathaniel
Limu