WAKATI UFOO SARO AKIWA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI HIVI NDIO HALI ILIVYO NYUMBANI KWAO KWAZIZIMA

October 14, 2013
  DSC 0108 5ec3cNi msiba wenye kuhuzunisha na kushtua.
Watu wakitafakari jambo nyumbani kwa kina Ufoo Saro, baada ya jana kupigwa risasi yeye pamoja na mama yake. Katika tukio hilo, mama yake Anastazia Saro alifariki Dunia, wakati aliyedaiwa kufanya tukio hilo naye alijipiga risasi na kufa papo hapo kwa tukio hilo linalotafsiriwa kuwa ni wivu wa mapenzi.

chanzo:handenikwetu.blogspot.com

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »