MWIDAU CUP YARINDIMA WILAYANI PANGANI.

October 27, 2013
Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Tanga, Amina Mwidau (CUF), akifutiliana kwa makini pambano la soko kati ya timu ya Black burn na Nondo (kulia), ni Katibu Msaidizi wa Chama cha Soko Wilaya ya Pangani, Mohamed Swazi, katika pambano hilo timu ya Black burn iliibuka na ushindi wa bao 4-1.

Mbunge Amina Mwidau, akikagua timu huku akiwa na viongozi wa timu ya Black burn kabla ya mchezo kuanza.

Mbunge Amina Mwidau, akikagua timu huku akiwa na viongozi wa timu ya Black burn kabla ya mchezo kuanza.

Mgeni rasmi katika mashindano ya Mwidau CUP, Amina Mwidau akijadiliana na jambo na viongozi wa chama cha soka wilaya ya Pangani huku Nahoddha wa timu ya Nondo FC Ahmad Juma akifuatilia  na katikati ni  mwamuzi wa pambano hilo, Mbaruk Suleyman Mohamed.

Mgeni rasmi Amina Mwidau, akizindua mashindano ya soka ya Mwidau CUP kwa kupiga mpira. 






Share this

Related Posts

Previous
Next Post »