El
Maamry ambaye kitaaluma ni mwanasheria na Mwenyekiti wa zamani wa TFF
wakati huo ikiwa Chama cha Mpira wa Miguu Tanzania (FAT) ataongoza bodi
hiyo yenye jumla ya wajumbe watano.
Wajumbe
wengine wa bodi hiyo ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ambaye
anakuwa Makamu Mwenyekiti, Dk. Ramadhan Dau, Mohamed Abdulaziz na
aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Stephen Mashishanga.

EmoticonEmoticon