NGORONGORO SAKO KWA BAKO NA TAASISI ZA ELIMU KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII NA ELIMU YA UHIFADHI

January 30, 2026


Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro leo tarehe 30 Januari, 2026 imeendelea na kampeni ya kutoa elimu ya vivutio vya utalii vilivyopo Ngorongoro na elimu ya uhifadhi endelevu kwa wanafunzi na walimu wa shule za Sekondari Manyara, Lowasa , Rift valley na Chuo cha Maendeleo ya wananchi FDC Mto wa Mbu ambapo taasisi zote zipo Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha.




Share this

Related Posts

Previous
Next Post »