
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi nakala ya fomu za uteuzi kwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT - WAZALENDO), Mhe. Luhaga Joelson Mpina aliyeambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej (kushoto) leo Septemba 13, 2025 Jijini Dar es Salaam, baada ya wagombea hao kuteuliwa na Tume kuwania nafasi hizo katika uchaguzi Mkuu wa utakao fanyika Oktoba 29, 2025. (Picha na INEC).
Mroki Mroki
Online Reporter/Blogger
Mob: +255 755 373999
Email: mrokim@gmail.com.
Blog: https://mrokim.blogspot.com/
DODOMA, TANZANIA
EmoticonEmoticon