MGOMBEA URAIS NA MWENYEKITI WA CCM DKT SAMIA SULUHU AZINDUA KAMPENI ZA UCHAGUZI ZA CHAMA HICHO KATIKA VIWANJA VYA VYA TANGANYIKA PACKERS JIJINI DAR ES SALAAM LEO AGOSTI 28,2025

August 28, 2025
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho tarehe 28 Agosti, 2025. 

 


Shamrashamra za Uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Agosti, 2025. 

Viongozi mbalimbali, wasanii pamoja na wananchi waliohudhuria uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Agosti, 2025





Share this

Related Posts

Previous
Next Post »