UMMY NDERIANANGA ACHUKUA FOMU UBUNGE VITI MAALUMU WANAWAKE WENYE ULEMAVU

June 30, 2025


Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum Kundi la Wenye Ulemavu  Ummy Nderiananga  Juni 30,2025 amechukua fomu ya kugombea Ubunge Viti Maalum kundi la Wanawake Wenye Ulemavu.


Nderiananga amekabidhiwa fomu hiyo katika Ofisi ya  Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na Katibu UWT  Mkoa wa Kilimanjaro  Ndug. Jane Chatanda.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »