Subira Mgalu Aonyesha Nia ya Kuliongoza Jimbo la Bagamoyo

June 29, 2025
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum mkoani Pwani, Subira Khamis Mgalu, leo June 29,2025 amechukua fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani.

Mgalu amechukua fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Bagamoyo na kukabidhiwa na Katibu wa CCM Wilaya ya Bagamoyo,Shabani Karage.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »