WAZIRI SAROGA ATEMBELEA MEZA YA NCAA KONGAMANO LA Z-SUMMIT ZANZIBAR

February 21, 2025

 


Waziri wa Utalii na Mambo Kale wa Zanzibar, Mhe. Mudrick Soraga  ametembelea Meza ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wakati wa kongamano la Z-Summit lililofanyika Chuo Kikuu cha Zanzibar  (SUZA).


 Kongamano la Z-Summit limefanyika kuanzia tarehe 19-20 Februari,2025 na kuwakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii ili kujadili changamoto na suluhisho za kuendeleza Zanzibar kama moja ya maeneo bora ya utalii duniani.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »