WAZIRI MKUU BUNGENI LEO FEBRUARI 02,2024

February 02, 2024

 


Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (kushoto) na Mbunge wa Mchinga Salma Kikwete, Bungeni jijini Dodoma, Februari 02, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye, Bungeni jijini Dodoma, Februari 02, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Singida Mashariki Miraji Jumanne Mtaturu, Bungeni jijini Dodoma, Februari 02, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »