WAZIRI MKUU ATEMBELEA SHAMBA SHAMBA LA KISASA LA MIFUGO, MILAN, ITALIA

October 20, 2023

 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia zoezi la ukamuaji wa maziwa kwa kutumia mashine alipotembelea shamba la kisasa la mifugo la Alessandra (Artificial Intelligence Farm) ambalo ni maarufu kwa teknolojia ya kisasa ya kutunza mifugo, lililopo Milan, Italia Oktoba 19, 2023.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Alessandra Seresina ambaye ni Mmiliki wa shamba la kisasa la mifugo Alessandra (Artificial Intelligence Farm) kuhusu ufugaji wa kisasa, wakati alipotembelea shamba hilo lililopo Milan, Italia Oktoba 19, 2023. Kushoto ni Balozi wa Tanzania Nchini Italia, Mahmoud Thabiti Kombo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia majani ambayo hutumika kama malisho ya mifugo kwenye shamba ya mifugo la la Alessandra ambalo ni shamba la kisasa la mifugo (Artificial Intelligence Farm) na maarufu kwa teknolojia ya kisasa ya kutunza  mifugo, wakati alipotembelea shamba hilo lililopo Milan, Italia Oktoba 19, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Alessandra Seresina ambaye ni Mmiliki wa shamba la kisasa la mifugo Alessandra (Artificial Intelligence Farm) kuhusu ufugaji wa kisasa, wakati alipotembelea shamba hilo lililopo Milan, Italia Oktoba 19, 2023. Kushoto ni Balozi wa Tanzania Nchini Italia, Mahmoud Thabiti Kombo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipewa maelezo na Alessandra Seresina ambaye ni Mmiliki wa shamba la kisasa la mifugo Alessandra (Artificial Intelligence Farm) kuhusu ufugaji wa kisasa, wakati alipotembelea shamba hilo lililopo Milan, Italia Oktoba 19, 2023. Kushoto ni Balozi wa Tanzania Nchini Italia, Mahmoud Thabiti Kombo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia mashine ya kunyonyeshea Ndama iliyopo katika shamba la kisasa la mifugo la Alessandra (Artificial Intelligence Farm) ambalo ni maarufu kwa teknolojia ya kisasa ya kutunza mifugo, lililopo Milan, Italia Oktoba 19, 2023. Wengine pichani kutoka kulia ni Balozi wa Tanzania Nchini Italia, Mahmoud Thabiti Kombo, Mmiliki wa shamba hilo Alessandra Soresina na Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »