LIGI YA MABINGWA WA MIKOA KUANZA MEI 1 MWAKA HUU

April 05, 2018



Timu 28 zinatarajia kushiriki Ligi ya Mabingwa wa Mikoa(RCL))msimu wa 2017/18 inayotarajia kuanza Mei 1,2018 mpaka Mei 16,2018 kwenye vituo vinne.

Vituo vitakavyotumika ni Geita, Singida, Rukwa na Kilimanjaro.

Makundi ya RCL yatakuwa na timu saba kila kundi yakipangwa kwa kufuata Jiografia ya kikanda katika soka.

Mwisho wa kuwasilisha jina la Bingwa wa Mkoa ilikua Machi 30, 2018 ambapo mikoa yote 26 iliweza kutimiza ndani ya muda huo uliowekwa na TFF.

Mikoa iliyothibitisha mabingwa wao wa RCL watakaocheza ligi hiyo msimu huu :

1. Dar Es salaam (Karume Market, Ungindoni FC, Temeke Squard)

2. Pwani (Stand FC)

3. Morogoro (Moro Kids)

4. Dodoma (Gwassa Sports Club)

5. Singida (Stand Dortmund)

6. Tabora (Tabora Football Club)

7. Kigoma (Red Stars FC)

8. Geita ( Gipco FC)

9. Kagera (Kamunyange FC)

10. Mwanza (Fathom Sports Club)

11. Mara (Nyamongo Sports Club)

12. Shinyanga (Zimamoto FC)

13. Simiyu (Ambassador FC)

14. Arusha (Bishoo Durning Sports)

15. Manyara (Usalama Sports Club)

16. Kilimanjaro (Uzunguni FC)

17. Tanga (Sahare All Stars)

18. Lindi (Majimaji Rangers)

19. Mtwara (Mwena FC)

20. Ruvuma (Black Belt)

21. Njombe (Kipagalo FC)

22. Songwe (Migombani FC)

23. Mbeya (Tukuyu Stars)

24. Iringa (Iringa United)

25. Rukwa (Laela FC

26. Katavi (Watu FC)

27.Manyara ()Usalama FC)

Mikoa ya Rukwa, Ruvuma na Tabora kuna malalamiko ya vilabu kupinga mabingwa wa mikoa, malalamiko ambayo TFF inaendelea kuyafanyia kazi.



Kundi A (GEITA)

Geita, Kagera, Mara, Mwanza,Shinyanga, Simiyu, Dar 2



Kundi B (RUKWA)

Rukwa,Katavi, Kigoma, Tabora, Ruvuma, Songwe, Mbeya



Kundi C (SINGIDA)

Singida,Dodoma,Iringa, Njombe, Dar 3, Lindi, Mtwara



Kundi D (KILIMANJARO)

Kilimanjaro, Tanga, Arusha, Manyara, Pwani, Morogoro, Dar 1

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »