Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa China
hapa nchini Wang Ke aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo. Wa kwanza kulia ni
Waziri wa Mambo ya Nje Balozi Dkt. Augustine Mahiga
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Balozi wa
China hapa nchini Wang Ke aliyeambatana
na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es Salaam kabla ya mazungumzo.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania TTCL-Corporation Omary
Nundu mara baada ya kuwasili Ikulu kwa
ajili ya mazungumzo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano la Tanzania
TTCL-Corporation Waziri Kindamba
aliyefika Ikulu pamoja na Mwenyekiti wa Bodi hiyo kwa ajili ya mazungumzo.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika
mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania
TTCL-Corporation Omary Nundu pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
Mawasiliano la Tanzania TTCL-Corporation Waziri Kindamba Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wanahabari kuhusiana na Shirika la Mawasiliano la Tanzania TTCL-Corporation.
Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania
TTCL-Corporation Omary Nundu pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo Waziri
Kindamba
Mwenyekiti
wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania TTCL-Corporation Omary Nundu
akizungumza kuhusu Shirika hilo
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na
Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania
TTCL-Corporation Omary Nundu (kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo
Waziri Kindamba Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU