Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina
Mabula akilakiwa nawananchi wakati alipokwenda kushuhudia uzinduzi wa
huduma za kisasa katika kituo cha Afya cha Nyamwaga kilichopo wilaya ya
Tarime mkoa wa Mara wakati wa ziara yake mkoani humo mbali na mambo
mengine kukagua mfumo wa ukusanyaji kodi ya ardhi na kukagua mpaka wa
Tanzania na Kenya.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina
Mabula akiangalia vifaa vilivyopo katika kituo cha afya cha Nyamwaga
kilichopo wilaya ya Tarime mkoa wa Mara.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina
Mabula akitoa nasaha wakati alipokwenda kushuhudia uzinduzi wa huduma za
kisasa katika kituo cha Afya cha Nyamwaga kilichopo Wilaya ya Tarime
mkoa wa Mara.
Baadhi ya wananchi wakisikiliza nasaha zilizokuwa zikitolewa
na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula
wakati wa uzinduzi wa kituo cha afya cha Nyamwaga kilichopo Tarime mkoa
wa Mara.
Baadhi ya wananchi wakisikiliza nasaha zilizokuwa zikitolewa
na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula
wakati wa uzinduzi wa kituo cha afya cha Nyamwaga kilichopo Tarime mkoa
wa Mara.