Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga, akisaini
kitabu cha wageni alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na
Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) akiwa
katika mazungumzo na Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens
Luoga, ofisini kwake Jijini Dar es Salaam. (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha na Mipango)