MBUNGE WA LUSHOTO AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUSAIDIA SEKTA YA AFYA JIMBONI KWAKE

January 04, 2018
Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi uliofanyika Kijiji cha Lwandai Kata ya Mlola wilayani Lushoto ambapo pamoja na kusikiliza kero zao aliishukuru Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli kupitia Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kuijali kata hiyo kwa kupeleka fedha milioni 700 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya cha Kisasa katika Kata ya Mlola ambapo kati ya hizo milioni 300 kwa ajili ya kununulia vifaa wakati kituo hicho kitakapomalika huku milioni 400 zikiwa tayari wameingiziwa tayari kwa ajili ya ujenzi huo
 Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi uliofanyika Kijiji cha Lwandai Kata ya Mlola wilayani Lushoto ambapo pamoja na kusikiliza kero zao aliishukuru Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli kupitia Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kuijali kata hiyo kwa kupeleka fedha milioni 700 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya cha Kisasa katika Kata ya Mlola ambapo kati ya hizo milioni 300 kwa ajili ya kununulia vifaa wakati kituo hicho kitakapomalika huku milioni 400 zikiwa tayari wameingiziwa tayari kwa ajili ya ujenzi huo
Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akizungumza katika mkutano wa hadhara kushoto ni Diwani wa Kata ya Mlola
Diwani wa Kata ya Mlola (CCM) akizungumza katika mkutano huo kabla ya kumkaribisha mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia aliyekaa kulia
Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia aliyekaa kulia akiwa na diwani wa Kata ya Mlola wakifuatilia kwa umakini maswali ya wananchi katika mkutano huo wa hadhara
Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia aliyekaa kulia akiandika baadhi ya kero alizoelezwa na wananchi hao ili kuweza kuona namna ya kuzipatia ufumbuzi.
 Sehemu ya wananchi wakimsikiliza Mbunge wao
 Mkazi wa Kijiji hicho Kata ya Mlola wilayani Lushoto akimuuliza swali Mbunge huyo

 Mmoja kati ya wakazi wa Kijiji hicho akimuuliza Mbunge huyo swali kuhusu kuwasaidia vijana na ajira za mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga
 Mkazi wa Kijiji hicho akimuuliza swali Mbunge wa Jimbo hilo
 Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia katikati akiagana na Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Kata ya Mlola wilayani Lushoto,Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi,Elmerick Joseph mara baada ya kumalia mkutano wa hadhara katikati ni diwani wa kata hiyo
 Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akisalimiana na wakina mama wa Kijiji hicho mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara

 Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia kushoto akimsikiliza kwa umakini Mwenyekiti wa CCM kata ya Mlola
 Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia katikati akiwasilikiliza wananchi wa Kijiji cha Lwandai Kata ya Mlola mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara
Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akiteta jambo na wananchi wa Kijiji cha Lwandai Kata ya Mlola wilayani Lushoto mara baada ya kumaliza mkutano wake wa hadhara

Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia wa pili kutoka kushoto akimuelza jambo diwani wa kata ya Mlola (CCM) mara baada ya kumalizika kwa mkutano huo uliofanyika makao makuu ya Kijiji cha Lwandai Kaya hiyo

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »