Waziri
wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla (MB) anatarajiwa kuwa
mgeni rasmi kesho Januari 23.2018, kwenye uzinduzi wa Onesho la Chimbuko
la Binadamu Afrika, tukio ambalo litafanyika majira ya saa 11 jioni
katika viunga vya Makumbusho ya Taifa, yaliyopo mtaa wa Shabani Robert,
mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM).
Akizungumza
wakati wa utambulisho wa tukio hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya
Taifa, Profesa Audax Mabulla amebainisha kuwa, tayari maandalizi ya
onesho hilo yameenda sawa na watu mbalimbali watanatarajiwa kushuhudia
tukio ambalo ni la siku moja wakiwemo viongozi wa Serikali na Mabalozi
waliopo nchini, na
watalii wanatarajiwa kuhudhuria.
watalii wanatarajiwa kuhudhuria.
Profesa
Mabulla amebainisha kuwa, Vioneshwa vyote katika onesho hilo hapo
kesho, vimepatikana hapa Tanzania kutokana na tafiti za kisayansi na
vimehifadhiwa Makumbusho ya Taifa.
“Vioneshwa hivi ni pamoja na masalia ya zamadamu, zana za mawe na
masalia ya wanyama walioishi takribani tangu miaka milioni 4 iliyopita. Pia zipo picha za zamadamu na mazingira waliyoishi wakifanya shughuli zao za kila siku.” alieleza Profesa Mabulla.
masalia ya wanyama walioishi takribani tangu miaka milioni 4 iliyopita. Pia zipo picha za zamadamu na mazingira waliyoishi wakifanya shughuli zao za kila siku.” alieleza Profesa Mabulla.
Kwa
upande wake Mratibu kwa upande wa Tanzania Dk. Agness Gidna amesema
Onesho limegawanyika katika sehemu kuu nne zikiwemo Makumbusho ya Taifa
la Tanzania ikishirikiana na Ubalozi wa Spain Tanzania. Hii ni pamoja na
Makumbusho ya Akiolojia ya
Madrid, Taasisi ya Chimbuko la Binadamu (IDEA) Madrid, Chuo Kikuu cha Alcala Madrid na Makumbusho ya CosmoCaixa Barcelona-Spain huku tamasha zima likidhaminiwa na Kampuni ya Simenti ya Twiga.
Madrid, Taasisi ya Chimbuko la Binadamu (IDEA) Madrid, Chuo Kikuu cha Alcala Madrid na Makumbusho ya CosmoCaixa Barcelona-Spain huku tamasha zima likidhaminiwa na Kampuni ya Simenti ya Twiga.
“Tunawashukuru kampuni ya Twiga Cement kwa kudhamini onesho la Chimbuko
la Binadamu Afrika (The Cradle of Humankind in Africa). Pia kutakuwa na Semina na onesho hili ni matokeo ya tafiti mbali mbali zinazofanyika bonde la Olduvai na Laetoli, Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro.” alieleza Dk Agness.
la Binadamu Afrika (The Cradle of Humankind in Africa). Pia kutakuwa na Semina na onesho hili ni matokeo ya tafiti mbali mbali zinazofanyika bonde la Olduvai na Laetoli, Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro.” alieleza Dk Agness.
Aidha
Dk.Agness ameongeza kuwa, Onesho hilo litakuwa katika pande nne ikiwemo
sehemu ya kwanza inahusu ushahidi wa nyayo za zamadamu zilizongunduliwa
huko Laetoli mwaka 1978 na mtafiti Dkt. Mary D. Leakey. Nyayo hizo
ziliachwa na zamadamu anayeiitwa Australopithecus afarensis na ni
ushaidi usiopingika wa zamadamu kutembea
wima kwa miguu miwili takribani miaka milioni 3.6 iliyopia.
wima kwa miguu miwili takribani miaka milioni 3.6 iliyopia.
Sehemu
ya pili inahusu hadithi ya kusisimua ya kuwa binadamu (Genus Homo)
ambapo kuna masalia ya zamadamu Zinjanthropus au Paranthropus boisei na
Homo habilis, zana za mawe za mwanzo (Oldowan) zilizotumika katika
kujipatia chakula na ushahidi wa kale wa ulaji wa nyama katika historia
ya mabadiliko ya binadamu, takribani miaka million 2 iliyopita.
Sehemu
ya tatu inahusu maisha ya jamii ya Homo erectus. Jamaii hii inafanana
zaidi na binadamu wa sasa kuliko jamii zilizotangulia. Kuna masalia ya
zamadamu Homo erectus, zana za mawe (Acheulian) na ushahidi wa ulaji wa
wanyama wakubwa kama vile tembo na nyati wa zamani takribani miaka
million 1.7 iliyopita.
Sehemu
ya nne inaonesha kipindi cha mwanzo cha binadamu wa sasa (Homo sapiens)
walioanza kutokea hapa Afrika miaka laki 2 iliyopita. Kuna masalia ya
Homo sapiens na zana za mawe za muhula wa kati na muhula wa mwisho.
Mbali
na onesho hilo, pia waandaji hao wa Makumbusho ya Taifa inawakaribisha
watu wote kuhudhuria semina na ufunguzi wa onesho la Chimbuko la
Binadamu Afrika.
Kwa
upande wa Semina ambayo inatarajia kuanzia majira ya saa tisa kamili
itaendeshwa na watafiti wa Kimataifa, akiwemo Prof. Manuel
Dominguez-Rodrigo wa Chuo Kikuu cha Complutense, Spain; Prof. Audax ZP
Mabulla na Dk. Agness Gidna.
Na Andrew Chale
Waziri Dk. Kigwangalla kufungua onesho la Chimbuko la Binadamu Afrika, Dar
Waziri
wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla (MB) anatarajiwa kuwa
mgeni rasmi kesho Januari 23.2018, kwenye uzinduzi wa Onesho la Chimbuko
la Binadamu Afrika, tukio ambalo litafanyika majira ya saa 11 jioni
katika viunga vya Makumbusho ya Taifa, yaliyopo mtaa wa Shabani Robert,
mkabala na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM).
Akizungumza
wakati wa utambulisho wa tukio hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya
Taifa, Profesa Audax Mabulla amebainisha kuwa, tayari maandalizi ya
onesho hilo yameenda sawa na watu mbalimbali watanatarajiwa kushuhudia
tukio ambalo ni la siku moja wakiwemo viongozi wa Serikali na Mabalozi
waliopo nchini, na
watalii wanatarajiwa kuhudhuria.
watalii wanatarajiwa kuhudhuria.
Profesa
Mabulla amebainisha kuwa, Vioneshwa vyote katika onesho hilo hapo
kesho, vimepatikana hapa Tanzania kutokana na tafiti za kisayansi na
vimehifadhiwa Makumbusho ya Taifa.
“Vioneshwa hivi ni pamoja na masalia ya zamadamu, zana za mawe na
masalia ya wanyama walioishi takribani tangu miaka milioni 4 iliyopita. Pia zipo picha za zamadamu na mazingira waliyoishi wakifanya shughuli zao za kila siku.” alieleza Profesa Mabulla.
masalia ya wanyama walioishi takribani tangu miaka milioni 4 iliyopita. Pia zipo picha za zamadamu na mazingira waliyoishi wakifanya shughuli zao za kila siku.” alieleza Profesa Mabulla.
Kwa
upande wake Mratibu kwa upande wa Tanzania Dk. Agness Gidna amesema
Onesho limegawanyika katika sehemu kuu nne zikiwemo Makumbusho ya Taifa
la Tanzania ikishirikiana na Ubalozi wa Spain Tanzania. Hii ni pamoja na
Makumbusho ya Akiolojia ya
Madrid, Taasisi ya Chimbuko la Binadamu (IDEA) Madrid, Chuo Kikuu cha Alcala Madrid na Makumbusho ya CosmoCaixa Barcelona-Spain huku tamasha zima likidhaminiwa na Kampuni ya Simenti ya Twiga.
Madrid, Taasisi ya Chimbuko la Binadamu (IDEA) Madrid, Chuo Kikuu cha Alcala Madrid na Makumbusho ya CosmoCaixa Barcelona-Spain huku tamasha zima likidhaminiwa na Kampuni ya Simenti ya Twiga.
“Tunawashukuru kampuni ya Twiga Cement kwa kudhamini onesho la Chimbuko
la Binadamu Afrika (The Cradle of Humankind in Africa). Pia kutakuwa na Semina na onesho hili ni matokeo ya tafiti mbali mbali zinazofanyika bonde la Olduvai na Laetoli, Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro.” alieleza Dk Agness.
la Binadamu Afrika (The Cradle of Humankind in Africa). Pia kutakuwa na Semina na onesho hili ni matokeo ya tafiti mbali mbali zinazofanyika bonde la Olduvai na Laetoli, Hifadhi ya Mamlaka ya Ngorongoro.” alieleza Dk Agness.
Aidha
Dk.Agness ameongeza kuwa, Onesho hilo litakuwa katika pande nne ikiwemo
sehemu ya kwanza inahusu ushahidi wa nyayo za zamadamu zilizongunduliwa
huko Laetoli mwaka 1978 na mtafiti Dkt. Mary D. Leakey. Nyayo hizo
ziliachwa na zamadamu anayeiitwa Australopithecus afarensis na ni
ushaidi usiopingika wa zamadamu kutembea
wima kwa miguu miwili takribani miaka milioni 3.6 iliyopia.
wima kwa miguu miwili takribani miaka milioni 3.6 iliyopia.
Sehemu
ya pili inahusu hadithi ya kusisimua ya kuwa binadamu (Genus Homo)
ambapo kuna masalia ya zamadamu Zinjanthropus au Paranthropus boisei na
Homo habilis, zana za mawe za mwanzo (Oldowan) zilizotumika katika
kujipatia chakula na ushahidi wa kale wa ulaji wa nyama katika historia
ya mabadiliko ya binadamu, takribani miaka million 2 iliyopita.
Sehemu
ya tatu inahusu maisha ya jamii ya Homo erectus. Jamaii hii inafanana
zaidi na binadamu wa sasa kuliko jamii zilizotangulia. Kuna masalia ya
zamadamu Homo erectus, zana za mawe (Acheulian) na ushahidi wa ulaji wa
wanyama wakubwa kama vile tembo na nyati wa zamani takribani miaka
million 1.7 iliyopita.
Sehemu
ya nne inaonesha kipindi cha mwanzo cha binadamu wa sasa (Homo sapiens)
walioanza kutokea hapa Afrika miaka laki 2 iliyopita. Kuna masalia ya
Homo sapiens na zana za mawe za muhula wa kati na muhula wa mwisho.
Mbali
na onesho hilo, pia waandaji hao wa Makumbusho ya Taifa inawakaribisha
watu wote kuhudhuria semina na ufunguzi wa onesho la Chimbuko la
Binadamu Afrika.
Kwa
upande wa Semina ambayo inatarajia kuanzia majira ya saa tisa kamili
itaendeshwa na watafiti wa Kimataifa, akiwemo Prof. Manuel
Dominguez-Rodrigo wa Chuo Kikuu cha Complutense, Spain; Prof. Audax ZP
Mabulla na Dk. Agness Gidna.
Na Andrew Chale,
Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla (MB) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi hiyo kesho Januari 23.2018.
Mkurugenzi
Mkuu wa Makumbusho ya Taifa, Profesa Audax Mabulla akizungumza na
waandishi wa Habari (Hawapo pichani) wakati wa utambulisho wa tukio hilo
linalotarajiwa kufanyika kesho Januari 23.2018.
Balozi
wa Spain nchini, Bw. Felix Costales akizungumza katika tukio hilo
mapema leo Januari 23,2018. Kulia kwake ni Mkuu wa Makumbusho ya Taifa,
Profesa Audax Mabulla
Tukio hilo likiendelea
Mratibu
kwa upande wa onesho hilo kwa Tanzania, Dk. Agness Gidna akionesha
maandalizi kwa wanahabari (hawapo pichani) namna itakavyokuwa hapo kesho
wakati wa tukio
Baadhi wanahabari wakiangalia Vioneshwa ‘visukuku’ wakati wa tukio hilo la utambulisho
Vionesho ambavyo vinatarajiwa kuwapo kesho katika tukio hilo
Afisa
kutoka ubalozi wa Spain akipata maelezo kutoka kwa Mratibu upande wa
Tanzania Dk. Agness Gidna wa Makumbusho ya Taifa. Kulia ni Balozi wa
Spain Bw. Felix Costales
Afisa
kutoka ubalozi wa Spain akipata maelezo kutoka kwa Mratibu upande wa
Tanzania Dk. Agness Gidna wa Makumbusho ya Taifa. Kulia ni Balozi wa
Spain Bw. Felix Costales
Vioneshwa
kinachoelezea hatua za binadamu wa kale katika makumbusho ya Taifa
ikiwa katika maandalizi ya mwisho mwisho kwa ajiri ya kesho
Vioneshwa kinachoelezea hatua za binadamu wa kale katika makumbusho ya Taifa
Vioneshwa ambavyo vinatarajiwa kuwepo kesho.
Moja eneo la bango la Chimbuko la Binadamu wa Kale. (Picha zote na Andrew Chale)
--
Andrew Chale
Blogger
Personality | Journalist | Activist | Online Editor dewjiblog |
Comedian |Volunteer Red Cross | Sauti za Busara & ZIFF Festivals
2007 to present.
Email: andrewchale@gmail.com
Telephone: +255222122830 Fax: +255222126833
Golden Jubilee Towers, Ohio Street,20th Floor
Po Box 20660, Dar es Salaam,Tanzania