Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu UAE Abdullah
Ibrahim Al-Suwaidi aliyeambatana na Ujumbe
wake Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa
Umoja wa Falme za Kiarabu UAE Abdullah Ibrahim Al-Suwaidi wa pili kutoka (kushoto)
aliyeambatana na Ujumbe wake Ikulu
jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Waziri wa mambo ya Nje Balozi
Dkt. Augustine Mahiga na Balozi Zuhura Bundala wa kwanza (kulia)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Kampuni ya Total
Momar Nguer mara baada ya kuwasili Ikulu pamoja na ujumbe wake.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa
Kampuni ya Total Momar Nguer mara baada ya kamaliza mazungumzo yao Ikulu jijini
Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Rais wa
Kampuni ya Total Momar Nguer wa tatu kutoka (kushoto ) aliyeambatana na ujumbe
wake mara baada ya kamaliza mazungumzo yao
Ikulu jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Waziri wa mambo ya
Nje Balozi Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,
Waziri wa Viwanda na Biashara Charles Mwijage pamoja na Balozi Zuhura Bundala
wa kwanza (kulia). PICHA NA IKULU