MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein, akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa tISA WA UVCCM katika ukumbi
wa Mwalimu Nyerere Chuo cha Mipango Dodoma wakati akifunga mkutano huo
na kutowa nasaha zake kwa Viongozi waliochaguliwa.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein, akisalimiana na kupokelewa na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Mboni
Mhita alipowasili katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein, akisalimiana na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa
alipowasili katika viwanja vya Chuo cha Mipango Dodoma kufunga Mkutano
Mkuu wa VCCM.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed
Shein, Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu wa
CCM Abrahaman Kinana wakiingia katika ukumbi wa mkutano wa Tisa wa
UVCCM. ukumbi wa chuo cha mipando dodoma.(
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa
UVCCM wakati Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein akiingia katika
ukumbi wa Mkutano
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Tisa wa
UVCCM wakifuatilia matokeo ya Uchaguzi yakitangazwa na Mjumbe wa Kamati
Kuu ya CCM William Lukuvi
WAGENI Waalikwa wakifuatilia
hutuba ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Shein wakati akihutubia
Mkutano huo Mkuu wa Tisa wa UVCCM,katika ukumbi wa Chuo cha JK Mwalimu
Nyerere, Chuo cha Mipango Dodoma akifunga mkutano huo.
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa UVCCM
wakimsikiliza Mamaku Mwenyekiti wa CCM Zanzibar akihutubia wakati wa
ufungaji wa MkutanoMkuu wa UVCCM leo
MSIMAMIZI wa Uchaguzi Mkuu wa
UVCCM Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Willian Lukuvi akitangaza matokeo ya
uchaguzi kwa wajumbe wa mkutano Mkuu wa Tisa wa UVCCM katika ukumbi wa
Chuo cha Mipango Dodoma
MSHINDI wa Nafasi ya Makamu
Mwenyekiti wa UVCCM Tabia Maulid Mwita akishindikizwa na wapambe wake
baada ya kutangazwa rasmin msindi wa nafasi hiyo.
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa UVCCM
wakishangilia wakati wa matokeo ya Uchaguzi wa nafasi za Mwenyekiti na
Makamu wake katika ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma.
MSHINDI wa Nafasi ya Mwenyekiti
wa UVCCM Taifa Kheri Denice James akiwa amebeba juu baada ya kutangazwa
mshindi wa nafasi hiyo na msimamizi wa Uchaguzi Mkuu Willian Lukuvu
WASHINDI wa Nafasi za Mwenyekiti
na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Kheri Denice na Tabia Maulid Mwita wakiwa
katika picha ya pamoja baada ya kutangazwa washindi.
Picha na Ikulu